Up next

UKWELI KIFO CHA TB. JOSHUA, AMEFARIKI PUNDE BAADA YA IBADA, ALIYOSEMA YALITABIRI KIFO CHAKE

18 Views· 09 Apr 2022
bsocially
bsocially
17 Subscribers
17
In Other

Mhubiri na nabii wa Kimataifa kutoka Nchini Nigeria, Temitope Balogun Joshua, maarufu T.B Joshua amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.

Amefariki saa chache baada ya kumaliza Huduma katika Kanisa lake Jijini Lagos, TB Joshua ni mwanzilishi wa Kanisa la Synagogue Church of All Nation (SCOAN) na Kituo cha Televisheni cha Emmanuel

Taarifa iliyotolewa na kanisa lake la Scoan inaeleza kwamba TB Joshua alifariki muda mfupi baada ya kutoa huduma katika kanisa hilo Jumamosi.

Show more

 0 Comments sort   Sort By


Up next